• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC Mwanza azindua kampeni ya ugawaji Taulo za kike Shule 32 Wilayani Misungwi

Posted on: May 14th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Mhandisi Robert Gabriel amezindua kampeni ya ugawaji wa Taulo za kike kwa shule za Sekondari 32 Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza zenye gharama ya Shilingi Milioni 13.


Mhe.Gabriel amesema kampeni hiyo ni mwafaka kwani inamsaidia msichana kuwa katika hali ya kujiamini anapokuwa katka Hedhi,na kushauri kampeni hiyo ifanyike Wilaya zote za Mkoa wa Mwanza.



."Bado baadhi ya Wasichana wanakabiliwa na tatizo wakati wa Hedhi kiasi cha kuwafanya kushindwa kuhudhuria masomo yao inavyotakiwa nawapongeza kampuni ya Dow Care kwa kitendo hiki"


Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Veronica Kessy amesema ugawaji wa Taulo hizo unakuja na matokeo chanya hasa kwa baadhi ya Wasichana walio katika mazingira magumu.

.

Balozi wa Taulo za Kike kutoka kampuni ya Dow Care Zari Tale amesema mpango uliopo mbeleni ni kampeni hii ya ugawaji wa Taulo za kike kufanyika maeneo yote hapa nchini.



Jumla ya Shule 32 za Sekondari za Serikali na baadhi za binafsi na Shule za Msingi zimenufaika na ugawaji huo wa Taulo za kike Wilayani Misungwi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 05, 2021
  • Tangazo kuhusu uhamisho wa ndani na nje ya Mkoa wa Mwanza. January 05, 2021
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MKOA WA MWANZA MWAKA 2021 February 05, 2021
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2018 Shule za Sekondari za Serikali Mkoa wa Mwanza December 13, 2017
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Magu yapongezwa kwa ukusanyaji Mapato

    June 25, 2022
  • Maafisa Ushirika Mwanza watakiwa kutumia Pikipiki walizokabidhiwa kwa malengo yaliyokusudiwa

    June 24, 2022
  • RC Mwanza aagiza Halmashauri Sengerema kujenga Miundombinu ya Afya kila Kijiji

    June 24, 2022
  • Halmashauri ya Buchosa watakiwa kutekeleza Miradi ya Maendeleo kwa mujibu wa Sheria

    June 23, 2022
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Regional Drive Mkabala na Ofisi za TRA

    S.L.P: S.L.P. 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.