• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

NAIBU WAZIRI CHAYA AITAKA TISEZA KUSIMAMIA UAJIRI WA WATAALAMU KWA WAWEKEZAJI

Posted on: January 6th, 2026

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji Mhe. Dkt. Pius Chaya (Mb), ameitaka Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) kuhakikisha wawekezaji wanaajiri wafanyakazi wenye sifa na taaluma stahiki ili kuongeza ufanisi wa miradi.

Akizungumza Januari 6, 2026, wakati wa ziara yake ya siku mbili mkoani Mwanza, Mhe. Chaya alitembelea viwanda vya Rofi Farming na Ziwa Steel vilivyopo wilayani Magu.

Amesisitiza umuhimu wa ajira zinazozingatia sifa za kitaaluma kwa vijana ili waweze kusimamia na kuendeleza miradi kwa tija.

Aidha, amewapongeza wawekezaji hao kwa mchango wao katika ajira na uchumi wa Mkoa wa Mwanza.

Kiwanda cha Ziwa Steel kimewekeza shilingi bilioni 65 na kutoa ajira zaidi ya 800, huku Rofi Farming kikiwekeza shilingi bilioni 9 na kuajiri zaidi ya vijana 150.

Mhe. Chaya pia aliwataka wawekezaji waliopo nchini kuwa mabalozi wa kuvutia uwekezaji zaidi, akiahidi ushirikiano wa serikali katika kuboresha mazingira ya uwekezaji.

Kwa upande wake Msimamizi wa Ofisi wa Rofi Farming, Bw. Neziah Mussa, ameomba serikali kusaidia upatikanaji wa malighafi kwa kuhamasisha wakulima kulima zao la soya kwa wingi.

Naye Msimamizi wa Rasilimali Watu wa Ziwa Steel Wakili Philip Sylvanus, ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI IDARA YA MAAFA OWM AFUNGA MAFUNZO YA KUKABILIANA NA DHARULA MWANZA

    February 20, 2026
  • KAYA 19,344 KUNUFAIKA NA BIMA YA AFYA KWA WOTE MWANZA AWAMU YA KWANZA

    February 20, 2026
  • RC MTANDA AMPOKEA WAZIRI DEUS SANGU MWANZA

    February 20, 2026
  • RC MTANDA AWATAKA WASIMBE NA WABANZA KUUNGANA KUKATA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    February 20, 2026
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.