• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Wahamiaji haramu watakiwa kujisalimisha

Posted on: February 13th, 2020

Wahamiaji haramu waliopo katika maeneo ya visiwa kutoka nje ya nchi watakiwa kujisalimisha na kufuata taratibu za kisheria kabla ya kuanza kwa zoezi la kuwabaini wote na kuwachulia hatua kali za kisheria ikiwa sambamba na kuwafikisha mahakamani.

Akizungumza  katika mkutano wa hadhara alipokuwa akiongea na wananchi pamoja na wavuvi wa kitongoji cha kisiwa kidogo  Ghana kata ya Ilangala wilaya ya Ukerewe  Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella alisema hawawezi kukimbia wajibu wao, hivyo wahamiaji hao wajitokeze kabla hawajakamatwa, wanapokimbia huko kwao wanakimbilia visiwani wakihitaji kuishi nchini wafuate taratibu zote na wataishi wa amani.

Pia aliwataka wananchi hao kuacha tabia ya kujifanya waungwana kwa kuwakaribisha wageni hao wasiokuwa na vibali hivyo watambue hiyo ni hatari na siku wakibainika sheria nayo itawaingiza hatiani.

“Hapa Ghana wahamiaji haramu wanapependa sana mtu akisha kurupushwa huko Burundi au Rwanda kituo cha kwanza ni Ghana na nyinyi waswahili wanafiki kwa kujifanya waungwana mnawakarbisha mjue hiyo ni hatari inawakabili siku za usoni taarifa zote tunazo”alisema Mongella.

 Aidha mkuu huyo ametoa kipindi cha miezi mitatu kwa uongozi wa kijiji hicho kuandaa taharifa ya mapato na matumizi baada ya kuonekana ubadhilfu wa fedha za wananchi za kuchangia shughuli za maendeleo.

Naye Mkuu wa Wilaya hiyo Cornel Magembe akizungumzia changamoto ya viongozi wakijiji kuwa na marumbano aliitaka tamati ya siasa ya kata hiyo kupata taarifa ya kuwajadili mwenyekiti wa kitongoji na wakijiji kwa sababu hawawezi kufanya kazi na watu wenye maslahi yao binafsi .

“Tunahitaji taarifa ya hawa watu wawili,hatuwezi ukakaa na watu ambao sisi tunakazana kwenda mbele wao wanapigana kwa maslahi yao binafsi tutakapobaini mmoja wao ana matatizo tutamuondoa tutaleta mwingine na atachaguliwa hapa”alisema Magembe.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MKOA WA MWANZA MWAKA 2021 December 18, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2018 Shule za Sekondari za Serikali Mkoa wa Mwanza December 13, 2017
  • Ziara ya Mhe. Mkuu wa Mkoa kwa ajili ya kufanya ufuatiliaji katika shule za Msingi na Sekondari Mkoa wa Mwanza 2018 January 10, 2018
  • Ufunguzi wa Mashindano ya UMISSETA na UMITASHUMTA Kitaifa Mkoa wa Mwanza. June 07, 2018
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • AGA KHAN Yatoa Vifaa vya Bilioni 1.5 Kuepusha vifo vya mama na mtoto Mwanza

    December 22, 2020
  • Kikao cha bodi ya Barbara chapanga mikakati ya mafanikio Mwanza

    December 21, 2020
  • Mwanza Kwanza Toleo la pili kwa habari mbalimbali Mkoa wa Mwanza

    December 12, 2020
  • Elimu ya maadili yatolewa Mwanza kwa Viongozi

    December 10, 2020
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella akifungua Baraza la biashara katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa mkikutano uliopo katika ofisi ya Mkoa uliojumuisha wajumbe mbalimbali wa Baraza hilo wa Mkoa wa Mwanza.
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Regional Drive Mkabala na Ofisi za TRA

    S.L.P: S.L.P. 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.