• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

TANESCO SACCOS Yatoa msaada wa mashuka Hospitali Nchi nzima

Posted on: May 20th, 2018

Chama cha Ushirika cha Akiba na Mikopo TANESCO (TANESCO  SACCOS LTD),Tawi la Mkoa wa Mwanza kimetoa msaada wa mashuka 140 kwa Hospital ya Rufaa ya Mkoa Sekou Toure Mkoa wa Mwanza.

Akikabidhi mashuka hayo Meneja wa TANESCO SACCOS  LTD Taifa Andre Hilary amesema iko haja ya wadau wengine kuthamini watu wenye mahitaji maalumu katika kukabiliana na changamoto mbalimbali za maisha.

Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanesco kiliandikishwa mwaka 1843 na kupata namba ya usajili mwaka 1968  ambapo Uanachama ndani ya TANESCO SACCOS uko wazi kwa Wafanyakazi wa Shirika la Umeme – TANESCO, Wafanyakazi wa TANESCO SACCOS, Wastaafu wa TANESCO, Wafanyakazi wa muda Maalum wa TANESCO, Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati na Madini na  Kampuni au Taasisi zilizo katika sekta ya Nishati.

“Chama hiki kilianzishwa kikiwa na lengo la kuhamasisha wanachama wake kujenga tabia ya kujiwekea akiba na kuwapa fursa ya kukopa kwa riba nafuu kwa ajili ya kukidhi mahitaji mbalimbali ya kijamii na kiuchumi,”alisema Hilary.

 

TANESCO SACCOS kupitia mpango Mkakati wa miaka mitano 2014-2018 unatekeleza msingi namba 7  wa Ushirika wa kuijali jamii (Concern for the Community). Katika Mpango huo Chama kinatoa msaada  katika sekta ya Afya kwa kutoa Mashuka katika Hospitali za Rufaa za Mkoa Nchi nzima.

 Zoezi hili ni zoezi endelevu lilionza mwaka 2014 kwa taasisi ya magonjwa ya kansa ya Ocean Road  na kuendelea na Hospitali zote nchini.

Mikoa iliyopatiwa msaada kwa mwaka huu ni pamoja na Mwananyamala RRH Dar es Salaam, Songea RRH Ruvuma,Amana RRH,Temeke RRH in Dar es Salaam,Dodoma RRH, Ligula RRH Mtwara, Mbeya Zonal RH, Mount Meru RRH Arusha, Morogoro RRH,hizi Hospitali zote zilipata mashuka 150 kila moja.

 Hospitali ya Kitete RRH Tabora na Geita RRH ambao walipata mashuka 130 kila Hospitali wakati Hospitali ya Sekou Toure RRH imepata mashuka 140 na kukamilisha jumla ya mashuka 1750 yaliyotolewa hadi sasa.

Aidha, Dira ya TANESCO SACCOS ni kuwa SACCOS inayoongoza Nchini Tanzania  inayokidhi mahitaji ya kijamii na kiuchumi ya wanachama wake kupitia huduma bora za kifedha ikiwa na Dhamira ya kuhamasisha na kuimarisha ukusanyaji wa akiba, hisa na amana kupitia utoaji wa elimu ya mikopo na huduma bora kwa wateja.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MKOA WA MWANZA MWAKA 2021 December 18, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2018 Shule za Sekondari za Serikali Mkoa wa Mwanza December 13, 2017
  • Ziara ya Mhe. Mkuu wa Mkoa kwa ajili ya kufanya ufuatiliaji katika shule za Msingi na Sekondari Mkoa wa Mwanza 2018 January 10, 2018
  • Ufunguzi wa Mashindano ya UMISSETA na UMITASHUMTA Kitaifa Mkoa wa Mwanza. June 07, 2018
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • AGA KHAN Yatoa Vifaa vya Bilioni 1.5 Kuepusha vifo vya mama na mtoto Mwanza

    December 22, 2020
  • Kikao cha bodi ya Barbara chapanga mikakati ya mafanikio Mwanza

    December 21, 2020
  • Mwanza Kwanza Toleo la pili kwa habari mbalimbali Mkoa wa Mwanza

    December 12, 2020
  • Elimu ya maadili yatolewa Mwanza kwa Viongozi

    December 10, 2020
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella akifungua Baraza la biashara katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa mkikutano uliopo katika ofisi ya Mkoa uliojumuisha wajumbe mbalimbali wa Baraza hilo wa Mkoa wa Mwanza.
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Regional Drive Mkabala na Ofisi za TRA

    S.L.P: S.L.P. 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.