• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Mwenge wa Uhuru wapokelewa kwa kishindo Mwanza

Posted on: August 26th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa mwanza Mhe.John Mongella amepokea mwenge wa  uhuru leo tarehe  26/08/2018 katika kijiji cha Izizimba " A " kilichopo Wilaya ya Kwimba ukitokea Mkoa wa Shinyanga baada ya kukabidhiwa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga  Mhe.Zainab  R. Telack.

Akitoa salamu za Mwenge  wa  Uhuru katika kijiji cha Izizimba "A" Mhe. Mongella amesema Mkoa unaendelea kupambana na ugonjwa hatari wa Ukimwi chini ya kauli mbiu " Wananchi jitambue:pima afya yako sasa ," kwani maambukizi mapya yameongezeka kutoka asilimia 4.2 kwa mwaka 2014/2015 hadi kufikia asilimia 7.2 kwa mwaka 2017/2018.

"Juhudi zitafanyika kupunguza maambukizi mapya na kutoa tiba sahihi za magonjwa ya ngono na Tohara inayofanyika na wanaume ili kuwakinga wasiweze kupata maambukizi ya VVU kwa urahisi,"alisema Mongella.

Mwenge wa uhuru utakimbizwa jumla ya kilometa 831.3 na   utafungua jumla ya miradi 56  katika halmashauri 8 ambayo  imegharimu kiasi cha zaidi ya bilioni 13.7 katika miradi ya halmashauri yaKwimba,Magu,Misungwi,Sengerema,Ukerewe ,Buchosa,Halmashauri ya jiji,na  manispaa ya Ilemela  huku miradi hiyo ikiwa imechangiwa na serikali kuu, halmashauri,wananchi pamoja na wahisani mbalimbali.

Ikumbukwe kuwa uzinduzi  wa mbio za mwenge wa uhuru ulifanyika  Kitaifa Mkoani Geita tarehe 2 Aprili2018 na utahitimisha mbio zake tarehe 14.10.2018 Mkoani Tanga ambayo ni siku ya kumbukumbu ya baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Aidha kauli mbiu ya mwenge wa uhuru mwaka 2018 ni  Elimu ni Ufunguo wa Maisha wekeza sasa kwa Maendeleo ya Taifa letu."

Hata hivyo Mwenge wa Uhuru 2018 umebeba ujumbe wa kudumu wa mapambano dhidi ya rushwa,mapambano dhidi ya madawa ya kulevya

na  Ukimwi.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MKOA WA MWANZA MWAKA 2021 December 18, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2018 Shule za Sekondari za Serikali Mkoa wa Mwanza December 13, 2017
  • Ziara ya Mhe. Mkuu wa Mkoa kwa ajili ya kufanya ufuatiliaji katika shule za Msingi na Sekondari Mkoa wa Mwanza 2018 January 10, 2018
  • Ufunguzi wa Mashindano ya UMISSETA na UMITASHUMTA Kitaifa Mkoa wa Mwanza. June 07, 2018
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • AGA KHAN Yatoa Vifaa vya Bilioni 1.5 Kuepusha vifo vya mama na mtoto Mwanza

    December 22, 2020
  • Kikao cha bodi ya Barbara chapanga mikakati ya mafanikio Mwanza

    December 21, 2020
  • Mwanza Kwanza Toleo la pili kwa habari mbalimbali Mkoa wa Mwanza

    December 12, 2020
  • Elimu ya maadili yatolewa Mwanza kwa Viongozi

    December 10, 2020
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella akifungua Baraza la biashara katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa mkikutano uliopo katika ofisi ya Mkoa uliojumuisha wajumbe mbalimbali wa Baraza hilo wa Mkoa wa Mwanza.
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Regional Drive Mkabala na Ofisi za TRA

    S.L.P: S.L.P. 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.