• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Mongella aweka historia Sizu tokea Uhuru

Posted on: February 11th, 2020



Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella ameanza ziara yake ya kikazi  ya siku nne Wilaya ya Ukerewe na kupokea taarifa ya afya katika zahanati ya Sizu iliyotolewa na Mganga Mkuu wa Wilaya Dtk.Raphael Mhana.
Dkt.Raphael amesema kuwa zahanati ya Sizu imejipanga kuhakikisha inapunguza vifo vya mama na mtoto kwa kuhamasisha kujifungulia kituo cha afya,pia kuwapa elimu ya kuhudhuria kliniki.

Aidha Tabibu Msaidizi Elizabeth John amesema kuwa wana changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na ufinyu wa jengo la kutolea huduma,kutokuwa na chanzo cha uhakika cha umeme na baadhi ya wakina mama kutokujifungulia kituoni na kutokuwa na usafiri wa uhakika  kwa ajili ya kusafirisha wagonjwa wa dharula.

"Zahanati ya Sizu ina watumishi wawili tu tofauti na mwaka jana ilikuwa na watumishi watatu,tunaendelea kuomba mamlaka husika ili kutuongezea watumishi, aliaema Elizabeth.

Akipokea taarifa hiyo Mkuu wa  Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella amehoji matumizi ya dawa kwani amekuta hakuna bini kadi na amerekodi wagonjwa 25.
 "Inakuwaje kati ya wagonjwa 300 unarekodi 25 pekee na dawa zinaonekana kutumika unafanyaje kuomba dawa nyingine pindi zinapoisha au unabuni kichwani tu,alihoji Mongella.

Mhe.Mongella akihutubia wananchi katika viwanja vya Shule ya Msingi Sizu  amesema kuwa kwenye maendeleo lazima tujitoe ili kuhakikisha kuwa kila mmoja anashiriki.
Hata hivyo Mhe.Mongella amechangia shilingi laki moja kwa ajili ya ujenzi wa choo cha shule ya Msingi Sizu na wataka kila mmoja kushiriki katika shughuli za maendeleo.

Mhe.Mongella amekemea unyanyasaji na uvuvi haramu na kuongeza kuwa visiwani kusiwe sehemu ya uovu,ualifu na uvunjifu wa Sheria na kuwataka kila mmoja kuwa mlizi wa rasilimali za kijiji.
"Wote tuungane katika kutumia rasilimali zetu ili vizazi vijavyo binufaike na rasilimali hizi,alisema mongella."
Naye Mwekekiti wa Halmashauri George Nyamaha amesema kuwa tokea Nchi hii ipate uhuru 1961 ni mara ya kwanza kwa Mhe.Mkiu wa Mkoa kutembelea kisiwa cha Sizu kata ya Kagunguli iliyopo Kijiji cha Sizu.Kisiwa cha Sizu kina wakazi 6406 kwa takwimu ya 2020 na ilianzishwa  mwaka 1971.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MKOA WA MWANZA MWAKA 2021 December 18, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2018 Shule za Sekondari za Serikali Mkoa wa Mwanza December 13, 2017
  • Ziara ya Mhe. Mkuu wa Mkoa kwa ajili ya kufanya ufuatiliaji katika shule za Msingi na Sekondari Mkoa wa Mwanza 2018 January 10, 2018
  • Ufunguzi wa Mashindano ya UMISSETA na UMITASHUMTA Kitaifa Mkoa wa Mwanza. June 07, 2018
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • AGA KHAN Yatoa Vifaa vya Bilioni 1.5 Kuepusha vifo vya mama na mtoto Mwanza

    December 22, 2020
  • Kikao cha bodi ya Barbara chapanga mikakati ya mafanikio Mwanza

    December 21, 2020
  • Mwanza Kwanza Toleo la pili kwa habari mbalimbali Mkoa wa Mwanza

    December 12, 2020
  • Elimu ya maadili yatolewa Mwanza kwa Viongozi

    December 10, 2020
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella akifungua Baraza la biashara katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa mkikutano uliopo katika ofisi ya Mkoa uliojumuisha wajumbe mbalimbali wa Baraza hilo wa Mkoa wa Mwanza.
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Regional Drive Mkabala na Ofisi za TRA

    S.L.P: S.L.P. 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.