JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA WAZIRI MKUU - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA      
 
     
 
 
     
UMBILE LA UTAWALA MKOA
 
[ Umbile la Utawala ] [ Nyumbani ] au
 



Mhe.Eng. Evarist Ndikilo
Mkuu wa Mkoa - Mwanza

 
     
 

Ndugu Doroth Mwanyika
Katibu Tawala wa Mkoa- Mwanza
 

Ndugu Cresecencia Joseph
Katibu Tawala Msaidizi-Utawala


Ndugu Isabela Mariki
Katibu Tawala Msaidizi-Mipango


Ndugu Getrude KulindwaKatibu Tawala Msaidizi-Huduma za Jamii


Katibu Tawala Msaidizi-Huduma za Uchumi


Ndugu Sabora Wambura
Katibu Tawala Msaidizi-Miundo Mbinu


Ndugu Christina Bigambo
Katibu Tawala Msaidizi-Huduma za Serikali za Mitaa

 

     
 
 
 

Mkoa wa Mwanza kiutawala ugawanyika katika wilaya nanae(8) ambazo ni :-

  1. Nyamagana
  2. Ilemela
  3. Geita
  4. Kwimba
  5. Magu
  6. Misungwi
  7. Sengerema
  8. Ukerewe

Kila wilaya ina Tarafa ,kata ,Vijiji ,Vitongoji au Mitaa kupeleka utawala karibu pia a wananchi.
     Mkoa una majimbo ya uchaguzuzi kumi na matatu ambayo ni :-

  1. Jimbo la Nyamagana
  2. Jimbo la Ilemela
  3. Jimbo la Geita
  4. Jimbo la Nyang'hwale
  5. Jimbo la Busanda
  6. Jimbo la Kwimba
  7. Jimbo la Sumve
  8. Jimbo la Magu
  9. Jimbo la Busega
  10. Jimbo la Misungwi
  11. Jimbo la Sengerema
  12. Jimbo la Buchosa
  13. Jimbo la Ukerewe
    Mkoa pia unao wabunge watatu(3)wa Viti Maalumu

 

 

 

MUUNDO WA SEKRETARIET YA MKOA

 

sekretariti ya mkoa imepitia mabadiliko mbalimbali yakiwemo ya kubadilika kutoka RDD kuwa RS .
Mwaka 2007 muundo wa Sekretarieti ya mkoa umebadilishwa na kuwa kama ifuatavyo:

  1. Idara ya Utawala na Raslimali watu.
  2. Kitengo cha ofisi za Wakuu wa wilaya.
  3. Kitengo cha Fedha na Uhasibu.
  4. Kitengo cha Ukaguzi wa hesabu wa ndani.
  5. Kitengo cha Menejimenti ya Manuuzi.
  6. Idara ya Mipango na Uratibu.
  7. Idara ya Sekta za Huduma za Jamii.
  8. Idara ya Sekta za Uchumi na Uzalishaji.
  9. Idara ya Miundo Mbinu na Uhandisi.
  10. Idara ya Huduma za Menejimenti za Serikali za Mitaa.
 

 
 
 
[ Umbile la Utawala ] [ Nyumbani ] au
Rudi juu
 
     
© 2009 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa S.L.P 119 Mwanza, Simu:028-2501037/2500366,Fax: 0282501057;Email:info@mwanza.go.tz