 |
 |
 |
| Sekta ya Uvuvi: |
Uvuvi katika Mkoa wa Mwanza ni chanzo cha kipato, lishe na ajira kwa wananchi. Kwa mujibu wa sensa ya wavuvi ya Machi 2006, Mkoa wa Mwanza una wavuvi
- 56,321 wanaotumia mitumbwi
- 16,911, nyavu za makila
- 208,079 ndoano
- 2,264,792 na
- 3,455 nyavu za dagaa.
Mkoa wa Mwanza unakadiriwa kuwa na tani 528,101.25 za samaki na uvunaji kwa mwaka ni kama inavyoonyeshwa kwenye jedwali chini. |
VIWANDA VYA SAMAKI |
|
|
Mkoa wa Mwanza una jumla ya viwanda 7 vya samaki vinavyotoa ajira kwa wananchi wapato 2,825 kati ya hao 1,195 ni ajira ya kudumu na 1,630 ni ajira ya muda. Viwanda hivi vinakata minofu ya samaki aina ya sangara kwa wastani wa tani 200 kila siku kwa ajili ya kuiuza nje ya nchi.
Mauzo ya samaki kwa soko la nje ni kama ifuatavyo kwenye jedwali hili hapa chini. |
|
|
MAPATO YATOKANAYO NA MAUZO YA SAMAKI |
|
Kwa kipindi cha miaka mine (2004 – Agosti 2007), erikali imeweza kupata jumla ya Tshs.19,854,066,986 zikiwa ni kutokana na kuuza tani 175,633.01 za mazao ya samaki katika soko la nje zenye thamani ya dola za kimarekani 500,843,954.21.
Kutokana na sheria ya uvuvi Na. 22 ya mwaka 2007 kusimamia sheria hiyo mkoa kwa kutumia wataalam wake ilibaini yafuatayo katika jedwali:
|
VYUO MBALIMBALI MKOANI MWANZA |
Baada kubaini hayo Mkoa ulijiwekea mikakati ifuatavyo:-
- Kuimarisha usimamiaji wa Uvuvi endelevu na matumizi bora ya raslimali ya Uvuvi.
- Kuimarisha ukusanyaji wa takwimu na taarifa za Uvuvi.
- Utoaji wa huduma za ugani kwa rahisi na haraka kwa wadau.
- Kuimarisha vikundi vya jamii vinavyoshirikiana na sekta kusimamia shughuli za Uvuvi.
- Kusimamia viwango vya ubora wa samaki na mazao yake.
- Ukusanyaji wa maduhuli kutokana na raslimali ya Uvuvi.
- Kusimamia, kudhibiti na kuendeleza doria dhidi ya uvuvi haramu.
|
| |
|
| |
|
|
| |
Mavuno ya samaki kwa mwaka mkoa wa Mwanza |
Mwaka |
Aina ya samaki |
Uzito (tani) |
Thamani (Milioni) |
2005 |
Sangara |
64,294 |
73,684. |
Dagaa |
123,294 |
172,779 |
Sato |
12,717 |
5,934.3 |
Furu |
51,279 |
6,366.9 |
Aina nyinginezo |
5,793 |
3,666.9 |
2006 |
Sangara |
86,076 |
69,615 |
Dagaa |
125,622 |
161,508 |
Sato |
53,196 |
29,920.2 |
Furu |
24,150 |
3,688.2 |
Aina nyinginezo |
6,366 |
4,685.4 |
|
| |
Mauzo ya samaki soko la nje: |
Mwaka |
Uzito (tani) |
Thamani (USD) |
Mrahaba (Tshs) |
2004 |
36,156.81 |
90,508,403.91 |
5,656,069,054 |
2005 |
36,854.70 |
110,122,188.43 |
5,689,348,320 |
2006 |
42,268.90 |
113,783,079.80 |
4,886,955,142 |
2007(Jan.-Agosti) |
24,965.99 |
81,711,278.71 |
3,621,694,489 |
Jumla |
175,633.01 |
500,843,959.21 |
19,854,066,986 |
|
| |
Survey ya shughuli za uvuvi |
Mwaka |
MATOKEO |
Kokoro |
Nyavu ndogo |
Nyavu Dagaa |
Timba |
Mitumbwi |
Katuli |
Kamba (mt) |
Sangara (kg) |
Sato |
Watuhumiwa |
2005 |
558 |
2767 |
142 |
4 |
69 |
14 |
25000 |
16610 |
5560 |
153 |
2006 |
1165 |
3379 |
263 |
65 |
87 |
9 |
44220 |
16226 |
6285 |
261 |
2007 (Agosti) |
1118 |
34 |
57 |
1067 |
54 |
1 |
70250 |
7364 |
20539 |
|
|
| |
| |
|