JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA WAZIRI MKUU - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA      
 
     
 
 
     
    SEKTA YA SEKTA YA MALIASILI NA UVUVILIMU MKOA WA MWANZA
 
[ Maliasili] [ Nyumbani ] au
 
Sekta ya Uvuvi:

Uvuvi katika Mkoa wa Mwanza ni chanzo cha kipato, lishe na ajira kwa wananchi. Kwa mujibu wa sensa ya wavuvi ya Machi 2006, Mkoa wa Mwanza una wavuvi

  • 56,321 wanaotumia mitumbwi
  • 16,911, nyavu za makila
  • 208,079 ndoano
  • 2,264,792 na
  • 3,455 nyavu za dagaa.

Mkoa wa Mwanza unakadiriwa kuwa na tani 528,101.25 za samaki na uvunaji kwa mwaka ni kama inavyoonyeshwa kwenye jedwali chini.

VIWANDA VYA SAMAKI
 

Mkoa wa Mwanza una jumla ya viwanda 7 vya samaki vinavyotoa ajira kwa wananchi wapato 2,825 kati ya hao 1,195 ni ajira ya kudumu na 1,630 ni ajira ya muda. Viwanda hivi vinakata minofu ya samaki aina ya sangara kwa wastani wa tani 200 kila siku kwa ajili ya kuiuza nje ya nchi.

Mauzo ya samaki kwa soko la nje ni kama ifuatavyo kwenye jedwali hili hapa chini.

 

MAPATO YATOKANAYO NA MAUZO YA SAMAKI

Kwa kipindi cha miaka mine (2004 – Agosti 2007), erikali imeweza kupata jumla ya Tshs.19,854,066,986 zikiwa ni kutokana na kuuza tani 175,633.01 za mazao ya samaki katika soko la nje zenye thamani ya dola za kimarekani 500,843,954.21.
    Kutokana na sheria ya uvuvi Na. 22 ya mwaka 2007 kusimamia sheria hiyo mkoa kwa kutumia wataalam wake ilibaini yafuatayo katika jedwali:

 

VYUO MBALIMBALI MKOANI MWANZA

Baada kubaini hayo Mkoa ulijiwekea mikakati ifuatavyo:-

  1. Kuimarisha usimamiaji wa Uvuvi endelevu na matumizi bora ya raslimali ya Uvuvi.
  2. Kuimarisha ukusanyaji wa takwimu na taarifa za Uvuvi.
  3. Utoaji wa huduma za ugani kwa rahisi na haraka kwa wadau.
  4. Kuimarisha vikundi vya jamii vinavyoshirikiana na sekta kusimamia shughuli za Uvuvi.
  5. Kusimamia viwango vya ubora wa samaki na mazao yake.
  6. Ukusanyaji wa maduhuli kutokana na raslimali ya Uvuvi.
  7. Kusimamia, kudhibiti na kuendeleza doria dhidi ya uvuvi haramu.

 

 
 
 
Mavuno ya samaki kwa mwaka mkoa wa Mwanza

Mwaka

Aina ya samaki

Uzito (tani)

Thamani (Milioni)

2005

Sangara

64,294

73,684.

Dagaa

123,294

172,779

Sato

12,717

5,934.3

Furu

51,279

6,366.9

Aina nyinginezo

5,793

3,666.9

2006

Sangara

86,076

69,615

Dagaa

125,622

161,508

Sato

53,196

29,920.2

Furu

24,150

3,688.2

Aina nyinginezo

6,366

4,685.4

 

Mauzo ya samaki soko la nje:

Mwaka

Uzito (tani)

Thamani (USD)

Mrahaba (Tshs)

2004

36,156.81

90,508,403.91

5,656,069,054

2005

36,854.70

110,122,188.43

5,689,348,320

2006

42,268.90

113,783,079.80

4,886,955,142

2007(Jan.-Agosti)

24,965.99

81,711,278.71

3,621,694,489

Jumla

175,633.01

500,843,959.21

19,854,066,986

 

Survey ya shughuli za uvuvi

 

 

Mwaka

MATOKEO

Kokoro

Nyavu ndogo

Nyavu Dagaa

Timba

Mitumbwi

Katuli

Kamba (mt)

Sangara (kg)

Sato

Watuhumiwa

2005

558

2767

142

4

69

14

25000

16610

5560

153

2006

1165

3379

263

65

87

9

44220

16226

6285

261

2007 (Agosti)

1118

34

57

1067

54

1

70250

7364

20539

 

 
 
[ [ Nyumbani ] au
Rudi juu
 
     
© 2009 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa S.L.P 119 Mwanza, Simu:028-2501037/2500366,Fax: 0282501057;Email:info@mwanza.go.tz