Mkoa una jumla ya wafanyabiashara zaidi ya 7,000 wa jumla na rejareja. Biashara zinazohusika ni kama vifaa vya ujenzi, madawa ya binadamu na mifugo, mafuta aina ya petroli, mafuta ya kula, masonara, wauza nguo mpya na mitumba, wauza nafaka, matunda na kadhalika.
|