 |
 |
 |
| Huduma za afya mkoani |
Mkoa una Hospitali ya Mkoa ya Sekouture ,hospitali za Wilaya sita (6),Zahanati na vituo vya afya ambavyo vyote hutoa huduma za afya yaani kinga na tiba kwenye maeneo husika.Hospitali ya Mkoa mbali ya kutoa huduma za Rufaa kwa Hospitali za Wilaya inahudumia pia Wakazi wote wa jiji la Mwanza yaani wilaya za Nyamagana na Ilemela.
|
|
|
 |
| Hospitali ya Rufaa ya Bugando iliyopo Jijini Mwanza |
|
|
|
Mkuu wa Jamii ya "Bahagalu" Ndugu Bulunguti Mlekwa akiwa kwenye kituo cha Tiba Mbadala |
| |
|
|
UKIMWI |
|
Ugonjwa wa Ukimwi ni miongoni mwa magonjwa yanayosababisha vifo kwa watu wengi.
Tangu mwaka 1983 – 2004 jumla ya wagonjwa 12,359 wameripotiwa katika hospitali ya Mkoa wa Mwanza. Baada ya kufungua kliniki ya matibabu na dawa za kufubaza virusi vya Ukimwi, wagonjwa 9,000 wameingizwa kwenye kliniki 17 za Mkoa wa Mwanza. Hizi ni hospital ya Bugando, Hospital ya Mkoa Sekou – Toure, Hospitali 7 na Hospital tano (5) za mashirika na watu binafsi. |
| |
| Mikakati ya Mkoa kupambana na tatizo la UKIMWI |
Mikakati ya mkoa ya kupambana na janga la UKIMWI ni kama ifuatavyo:- |
- Kutoa huduma kwa wagonjwa wa ukimwi katika hospitali. Huduma hizi kutolewa katika hospitali zote za mkoa na vituo vya Afya.
- Kutoa ushauri na upimaji wa virusi vya ukimwi kwa hiari kwa vituo vyote vya afya mkoani. Tunaanzisha na kutoa huduma ya ushauri nasaha na upimaji virusi vinavyosababisha ukimwi jumla ya vituo ni 28.
- Kutoa matibabu sahihi ya magonjwa ya ngono na magonjwa nyemelezi kwa vituo vyote vya huduma za afya. Huduma hii inatolewa kwa asilimia 80 kwa vituo vyote.
- Kutoa huduma ya kuzuia maambukizo ya virusi vya ukimwi toka kwa mama mjamzito kwenda kwa mtoto (PMTCT). Huduma hii inatolewa na hospitali zote za mkoa pamoja na vituo vya Afya vyote.
- Kutoa Elimu ya ukimwi/uzazi kwa vijana walioko shuleni kwa vituo vyote vya huduma za afya katika Mkoa. Watoa huduma wote wa vituo vya huduma wamepata mafunzo na kutoa huduma kwa vijana wote walioko shuleni.
|
| |
Mkoa bado unakabiliwa na Changamoto zifuatazo:- |
- Upungufu mkubwa wa watumishi – kiwango kilichopo ni kiasi cha asilimia 40.
- Vifaa na madawa havipatikani (Readily) mahali ambapo tunawekeza fedha yetu (MSD).
- Majengo mengi ya vituo vya tiba bado ni chakavu.
- Huduma za ART (Antiretral Therapy) bado haijatosha na haieleweki kwa jamii kwa kiwango cha kutosha.
- Usafiri katika vituo vya afya hautoshelezi hasa katika vituo vya afya ambavyo viko mbali na makao makuu ya wilaya.
- Upungufu wa fedha ya kuendeshea hospitali ya Mkoa Sekou – Toure (Other Charges).
- Upungufu wa fedha za usimamizi Huduma za Afya katika Mkoa (Basket Fund).
|
| |
| Mkakati wa Mkoa kukabiliana na Changamoto |
- Kuongeza ajira kwa Wataalam.
- Kuzidi kutoa elimu kwa jamii kuhusu ART (Anti-Retral Therapy).
- Kuongeza fedha za kuendesha hospitali ya mkoa.
- Kuongeza fedha za usimamizi wa huduma za Afya katika mkoa.
- Kuweka fedha za madawa nusu kwa MSD na nusu kwa vituo husika ili kuweza kununua mahali pengine vifaa na madawa ambayo hayapatikani MSD.
|
| |
| |
|
Jedwali Likioyesha Vifo kutokana na magonjwa mbalimbali umri chini ya miaka 5 mwaka 2005 – 2006.
UMRI – CHINI YA MIAKA 5 2005
S/N |
|
Wagonjwa |
Vifo |
% |
1. |
Malaria |
19,384 |
551 |
45 |
2. |
Anaemia |
4,709 |
395 |
32 |
3. |
Pneumonia |
3,432 |
131 |
11 |
4. |
Diarrhoeal Diseases |
1,988 |
50 |
4 |
5. |
Branchial Athma |
75 |
6 |
0.5 |
6. |
Severe PEM |
265 |
37 |
3 |
7. |
ARI |
735 |
7 |
0.5 |
8. |
Burns |
35 |
7 |
0.5 |
9. |
Poisoning |
72 |
6 |
0.5 |
10. |
HIV/AIDS |
72 |
40 |
3 |
Total |
30,771 |
1,230 |
100 |
|
| |
Jedwali Likionyesha Athari za Magonjwa kwa UMRI – CHINI YA MIAKA 5 2006
S/N |
|
Wagonjwa |
Vifo |
% |
1. |
Malaria |
13,972 |
369 |
38.4 |
2. |
Anaemia |
3,588 |
285 |
29.7 |
3. |
Pneumonia |
2,843 |
166 |
17.3 |
4. |
Perinatal & Neonatal conditions |
566 |
80 |
8.3 |
5. |
Severe PEM |
200 |
38 |
4.0 |
6. |
ARI |
515 |
11 |
1.1 |
7. |
Burns |
126 |
8 |
0.8 |
8. |
Poisoning |
50 |
3 |
0.3 |
Total |
21,860 |
960 |
100 |
|
| |
Jedwali Likionyesha– Vifo kutokana na magonjwa mbalimbali umri zaidi ya miaka 5 mwaka 2005 – 2006.
UMRI – ZAIDI YA MIAKA 5 2005
S/N |
|
Wagonjwa |
Vifo |
% |
1. |
Malaria |
12,670 |
334 |
37 |
2. |
Anaemia |
1,459 |
114 |
13 |
3. |
Tuberculosis |
916 |
104 |
11 |
4. |
HIV/AIDS |
1,147 |
161 |
18 |
5. |
Pneumonia |
1,290 |
79 |
9 |
6. |
Cardiac Failure |
214 |
52 |
6 |
7. |
Hypertension |
244 |
20 |
2 |
8. |
Other respiratory Diseases |
309 |
16 |
1.5 |
9. |
Poisoning |
26 |
9 |
0.5 |
10. |
Diarrhoes diseases |
1,249 |
19 |
2 |
Jumla |
19,524 |
908 |
100 |
|
| |
Jedwali Na. 34 - UMRI – ZAIDI YA MIAKA 5 2006
S/N |
|
Wagonjwa |
Vifo |
% |
1. |
Malaria |
7,200 |
267 |
43.2 |
2. |
Anaemia |
1,378 |
119 |
19.3 |
3. |
Tuberculosis |
707 |
78 |
12.6 |
4. |
Pneumonia |
701 |
45 |
7.3 |
5. |
Other diarrhea diseases |
610 |
38 |
6.1 |
6. |
Complications of pregnancy |
3,209 |
34 |
5.5 |
7. |
UTI |
801 |
16 |
2.6 |
8. |
Other respiratory disease |
228 |
11 |
1.8 |
9. |
ARI |
318 |
10 |
1.6 |
Total |
15,152 |
618 |
100 |
|
| |
Aidha magonjwa kama shinikizo la damu (hypertension) na magonjwa ya moyo, kisukari (Diabetes) na saratani za aina zote, yaani ya matiti, ya kizazi, tezi (prostate gland) ni magonjwa ambayo yamejitokeza kuwa tatizo kubwa katika jamii katika miaka ya hivi karibuni.
Mengine ni magonjwa ya akili yatokanayo na ugumu wa maisha na utumiaji wa madawa ya kulevya, upungufu wa damu (Anaemia) UKIMWI (clinical Aids), pamoja na matatizo katika ujauzito (complications in pregnancy).Katika Mkoa wetu Afya ya kinga inapewa kipaumbele. Huduma hii imegawanyika katika sehemu mbili :-
- Huduma ya mama na mtoto (Reproductive and child health).
- Afya ya Mazingira (Enviromental Sanitation).
Kutokana na utoaji wa huduma hizi kwa ufanisi, chanjo zote kwa ujumla zilifanikiwa sana kama ifuatavyo:-
|
| |
Jedwali Na. 35 – Chanjo ya watoto chini ya mwaka mmoja mwaka 2006
Na. |
Wilaya |
Lengo |
BCG |
OPVO |
OPV3 |
DPT-HB3 |
SURUA |
Chanjwa |
Ufanisi |
Chanjwa |
Ufanisi |
Chanjwa |
Ufanisi |
Chanjwa |
Ufanisi |
Chanjwa |
Ufanisi |
1. |
Magu |
18040 |
17901 |
99% |
10909 |
60% |
17612 |
98% |
17309 |
96% |
15552 |
86% |
2. |
Kwimba |
14505 |
15571 |
107% |
9157 |
63% |
13844 |
95% |
13437 |
93% |
13963 |
96% |
3. |
Sengerema |
24143 |
27729 |
115% |
13129 |
54% |
24505 |
101% |
22482 |
93% |
24840 |
103% |
4. |
Geita |
34043 |
40898 |
120% |
13408 |
39% |
37202 |
109% |
32543 |
96% |
32905 |
97% |
5. |
Ukerewe |
11750 |
11538 |
98% |
7243 |
62% |
10733 |
91% |
10521 |
90% |
10862 |
92% |
6. |
Misungwi |
12152 |
13589 |
112% |
8184 |
67% |
13029 |
107% |
12520 |
103% |
12541 |
103% |
7. |
Mwanza |
21889 |
27938 |
128% |
20341 |
93% |
21273 |
97% |
20589 |
94% |
20299 |
93% |
Jumla |
136522 |
155164 |
114% |
82371 |
60% |
138198 |
101% |
129401 |
95% |
130962 |
96% |
|
| |
Jedwali Na. 35 – Chanjo ya watoto chini ya mwaka mmoja mwaka 2006
Na. |
Wilaya |
Lengo |
BCG |
OPVO |
OPV3 |
DPT-HB3 |
SURUA |
Chanjwa |
Ufanisi |
Chanjwa |
Ufanisi |
Chanjwa |
Ufanisi |
Chanjwa |
Ufanisi |
Chanjwa |
Ufanisi |
1. |
Magu |
18040 |
17901 |
99% |
10909 |
60% |
17612 |
98% |
17309 |
96% |
15552 |
86% |
2. |
Kwimba |
14505 |
15571 |
107% |
9157 |
63% |
13844 |
95% |
13437 |
93% |
13963 |
96% |
3. |
Sengerema |
24143 |
27729 |
115% |
13129 |
54% |
24505 |
101% |
22482 |
93% |
24840 |
103% |
4. |
Geita |
34043 |
40898 |
120% |
13408 |
39% |
37202 |
109% |
32543 |
96% |
32905 |
97% |
5. |
Ukerewe |
11750 |
11538 |
98% |
7243 |
62% |
10733 |
91% |
10521 |
90% |
10862 |
92% |
6. |
Misungwi |
12152 |
13589 |
112% |
8184 |
67% |
13029 |
107% |
12520 |
103% |
12541 |
103% |
7. |
Mwanza |
21889 |
27938 |
128% |
20341 |
93% |
21273 |
97% |
20589 |
94% |
20299 |
93% |
Jumla |
136522 |
155164 |
114% |
82371 |
60% |
138198 |
101% |
129401 |
95% |
130962 |
96% |
|
| |
Jedwali Na. 36 – Chanjo ya TT² kwa akina Mama Wajawazito mwaka 2006
Wilaya |
Idadi ya Wateja watarajiwa |
Idadi ya wateja waliochanjwa |
Kiwango cha chanjo |
Ukerewe |
11,097 |
10,734 |
80.9.2% |
Misungwi |
10,962 |
10,912 |
99.5% |
Kwimba |
13,368 |
15,382 |
115% |
Geita |
30,325 |
27,771 |
91.6% |
Sengerema |
21,216 |
21,007 |
99% |
Magu |
16,505 |
15,394 |
93.2% |
Mwanza Mjini |
23,293 |
19,242 |
95% |
Jumla Mkoa |
126,766 |
120,442 |
97.5% |
|
| |
Jedwali Na. 37 – Sababu za vifo vya Mama Wajawazito 2006:
Sababu za vifo |
Ukerewe |
Misungwi |
Kwimba |
Geita |
Sengerema |
Magu |
Mwanza Mjini |
Jumla ya Mkoa |
Septicaemia |
0 |
0 |
0 |
1 |
0 |
0 |
6 |
7 |
Anaemia |
1 |
2 |
4 |
6 |
3 |
3 |
9 |
28 |
Malaria |
1 |
0 |
3 |
2 |
1 |
2 |
5 |
14 |
PPH |
4 |
1 |
2 |
4 |
7 |
0 |
5 |
23 |
Puerperal Sepsis |
4 |
3 |
2 |
8 |
2 |
7 |
6 |
32 |
Obstructed Labour |
2 |
1 |
1 |
3 |
1 |
0 |
1 |
9 |
Pulmonary Oedema |
0 |
0 |
4 |
0 |
0 |
0 |
0 |
4 |
Meningitis |
0 |
1 |
2 |
0 |
1 |
0 |
0 |
4 |
HIV/AIDS |
0 |
0 |
2 |
2 |
0 |
0 |
6 |
10 |
Elclampsia |
0 |
0 |
3 |
4 |
0 |
0 |
6 |
13 |
Pneumonia |
1 |
0 |
0 |
0 |
0 |
0 |
|
1 |
Ruptured Urterus |
2 |
0 |
0 |
1 |
0 |
0 |
2 |
5 |
APH |
0 |
0 |
0 |
2 |
1 |
0 |
1 |
4 |
EPH Gestosis |
2 |
0 |
0 |
0 |
0 |
0 |
0 |
2 |
Sababu nyingine (taja) |
|
4 |
0 |
30 |
0 |
5 |
7 |
46 |
|
| |
| |
| |
| |
| |
|
|