Mwenge wa uhuru ulizimwa kitaifa Oktoba Mosi 2010 Mkoani Kigoma baada ya kuzunguka wilaya zote za Tanzania zikiwemo wilaya 8 za mkoa wa Mwanza,Taarifa kutoka kwa Mratibu wa Mwenge Mkoani Ndugu James Wiliam Ngasa zinasema Mwenge wa uhuru umezindua Miradi mingi ya Maendeleo na kuhamasisha wananchi kujiletea Maendeleo,Kujikinga na Maambukizi ya UKIMWI na Kupingana na UMASIKINI. |