JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA WAZIRI MKUU - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
 
 
 
.: Miaka 50 ya Uhuru
 .: Umbile la Utawala
 .: Picha na Matukio
.: Mpango Mkakati
 .: Wabunge wa Mwanza
 .: Historia ya Mkoa
 .: Dira&Mwelekeo
 .: Miradi & Programu
 .: Fedha & Bajeti
 .: Nyaraka Mbalimbali
 .: Mipango
 .: Takwimu
 .: Kilimo na Mifugo
 .: Maliasili&Mazingira
 .: Elimu
 .: Afya
 .: Maji
 .: Ushirika
 .: Biashara
 .: Barabara na Majengo
 .: Ardhi
 .: Jamii, Jinsia & Watoto
 .: Taarifa za Mkaguzi
 .: Kazi
 .: Sheria
 .: Serikali za Mitaa
 .: FAQs & Mijadala
 .: Daftari la Wageni     & Maoni
.: Kamati ya Uhariri
.: Watumishi wa Mkoa
.: Tovuti Zingine

 


 


Mhe.Eng.Evarist Ndikilo Mkuu wa Mkoa Mwanza

 
   
 

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Eng. Evarist Ndikilo amewaapisha wakuu wa Wilaya Saba za mkoa wa Mwanza siku ya Jumatano Tarehe 16 Mei 2012 katika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Mhe. Ndikilo amewaapisha wakuu hao na vituo vyao vya kazi kwenye mabao kama ifuatavyo: Baraka M.Konisaga (Nyamagana), Amina J.Masenza (Ilemela),Mariam S. Lugaila (Misungwi),Selemani Mzee Selemani (Kwimba), Jacqueline Liana (Magu),Mary Tesha (Ukerewe) na Mrs. Karen Yunus (Sengerema).

 
     
  Wajibu wa Wajumbe wa Bodi za Sekondari-REO  Chomola.  
  ..........................................................  
  Ufahamu Mfumo wa Stakabadhi ya Mazao Ghalani-Kija Maheda.  
  ..........................................................  
  Matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Nne ,Sita na Ualimu 2010/11.  
 
..........................................................
 
  Fursa za uwekezaji Mkoa wa Mwanza  
  ..........................................................  
  Mkutano wa 8 wa Silivan Arusha.  
  ...........................................................  
  Kidato cha I bweni 2011-Mwanza.  
  ...........................................................  
  Kidato cha I Kutwa 2011-Mwanza.  
     
   
 
 
 

..................................................

   
HABARI NYINGINE  
     
Nafasi za Kazi / Ajira  
  .....................................................  
Zabuni na Minada  
  .....................................................  
V V U / UKIMWI  
  .....................................................  
Mafunzo ya Ujasiriamali  
  .....................................................  
Mafunzo ya Mfumo wa Epicor 9.05  
  .....................................................  
Mipaka ktk Hifadhi za Misitu  
  .....................................................  
Chanjo ya Ukoma  
  .....................................................  
Warsha ya uwekezaji  
  .....................................................  
Mapato ya Mkoa yapanda  
     
 



Halmashauri ya Nji wa Geita Kuanza Shughuli zake Julai 2012
  Halmashauri ya Mji wa Geita Itanza Rasmi shughuli zake tarehe 01 Julai 2012. Taarifa kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa wa geita iliyothibitishwa na OWM-TAMISEMI na Wizara ya Fedha zina sema Halmashauri hii itaanza kazi zake kwa mujibu wa sheria na maandalizi muhimu yanaendelea ikiwemo kuwasilisha Bajeti Hazina kwa ajiri ya kutengewa fedha kwa ajiri ya Shughuli zake  
  ....................................................................................  
  Bonyeza hapa kusoma habari zaidi  
     
Mkoa wa Geita waanza Rasmi
 
Kufuatia uamuzi wa Mhe.Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kutangaza rasmi kuanzisha mikoa mipya minne na kuwaaapisha wakuu wa mikoa hiyo na Makatibu Tawala wake mikoa hiyo imeanza rasmi kutekeleza majukumu yake kwa Mujibu wa Sheria ya Tawala za mikoa na 19 ya 1997. Kwa Mujibu wa Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita Ndugu Severine Kahitwa mkoa huo mpya umejipanga kusimamia maendeleo yatolewayo na Mamlaka za Serikali za Mitaa nne mkoani humo ambazo ni Halmashauri ya Mji wa Geita, Halmashauri za Wilaya za Geita, Chato na Bukombe.Aidha Katibu Tawala Huyo wa Mkoa amebainisha kuwa Ofisi za muda za RS ya Geita ziko Jirani na Halmashauri ya Geita Kwenye Jengo la Rest House na zingine Jengo la Meremeta. Mhe. Kahitwa ameeleza kuwa Ofisi yake inajipanga kuanza na ujenzi wa Ofisi za kudumu za Mkoa na Wakuu wa Wilaya wa Mbogwe na Nyang'wale ,Hospitali ya Mkoa ,Nyumba ya RC na RAS, Nyumba za maDC na za Makatibu tawala wa wilaya mpya za Nyangh'wale na Mbogwe pia watumishi wengine wa Sekretariet ya mkoa. RAS Kahitwa amewaomba wananchi wote wa Mkoa wa Geita Kushirikiana na serikali yao ili kujiletea Maendeleo.
Bonyeza hapa kusoma habari zaidi
 
  ....................................................................................  
  Bonyeza hapa kusoma habari zaidi  

Ndugu Kahitwa S.B.M RAS Geita
  ENEO BINAFSI      
 
Web Mail
Maoni
Online Training / class
Mafaili na Ujumbe
Mijadala
 
 
     
Hotuba za Mkuu wa Mkoa  
Hotuba za Katibu Tawala (M)  
   

 
 
 
 
   
 Mbio za  Mwenge wa Uhuru 2012 zazinduriwa mkoani Mbeya.
 
Mbio za Mwenge wa uhuru zimezunduliwa kitaifa Mkoani Mbeya tarehe 11 Mei 2012. Mwenge huo unatarajiwa kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo katika wilaya zote 133 Tanzania, kauli mbiu ya mwaka huu ni “sensa na makazi ya watu, maboresho ya katiba, kupambana na rushwa, ukimwi na dawa za kulevya”. Kwa Mujibu wa Afisa Maendeleo ya Vijana Mkoa wa Mwanza Ndugu. Diana Rwechungura Mwengea wa uhuru unatarajiwa kuwa mkoani Mwanza kuanzia tarehe 19-26 Agosti 2012 na utazindua Miradi mbalimbali ya Maendeleo.
 
  ....................................................................................  
  Bonyeza hapa kusoma habari zaidi  

 

 
  Matukio Yajayo :  
 
       
Mkuu wa Mkoa Kuwaapisha wa kuu wa Wilaya mkoani Mwanza
Tar. 16/ 05/2012
Kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Mwanza.
Tar. 30/05/2012
Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa.
Tar. 31/05/2012
Mamlaka za Serikali za Mitaa za takiwa Kujibu Hoja za Ukaguzi
01/04/ 201230 /09/2012
     
Mfumo wa ya Epicor 9.05 kuanza Rasma mkoani Mwanza. Tar. 01 /07/2012
     
Maandalizi ya Sensa ya watu na Makazi Mkoa wa Mwanza.
Tar. 30/12/2011 25/08/2012
Mwenge wa Uhuru Kuzindua Miradi ya Maendeleo Mwanza.
Tar. 1926/Agosti/2012
   
     
       
 
       
 

 

    ........................................................  
  Fursa za Uwekezaji & Vivutio  
    ......................................................  
  Mashirika, Taasisi & NGO's  
    ......................................................  
  Mahoteli & Nyumba za kulala wageni  
    ......................................................  
  Hospitali, Vituo vya afya na zahanati  
       
  Huduma za Jamii  
       
  Utalii  
    ........................................................  
  Maelezo mengine...  
       
© May 2012 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa S.L.P 119 Mwanza, Simu:028-2501037/2500366,Fax: 0282501057;Email:info@mwanza.go.tz