JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA WAZIRI MKUU - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
 
 
 
.: Miaka 50 ya Uhuru
 .: Umbile la Utawala
 .: Picha na Matukio
.: Mpango Mkakati
 .: Wabunge wa Mwanza
 .: Historia ya Mkoa
 .: Dira&Mwelekeo
 .: Miradi & Programu
 .: Fedha & Bajeti
 .: Nyaraka Mbalimbali
 .: Mipango
 .: Takwimu
 .: Kilimo na Mifugo
 .: Maliasili&Mazingira
 .: Elimu
 .: Afya
 .: Maji
 .: Ushirika
 .: Biashara
 .: Barabara na Majengo
 .: Ardhi
 .: Jamii, Jinsia & Watoto
 .: Taarifa za Mkaguzi
 .: Kazi
 .: Sheria
 .: Serikali za Mitaa
 .: FAQs & Mijadala
 .: Daftari la Wageni     & Maoni
.: Kamati ya Uhariri
.: Watumishi wa Mkoa
.: Tovuti Zingine

 


 


Mhe.Eng.Evarist Ndikilo Mkuu wa Mkoa Mwanza

 
   
 

Kwa namna ya pekee ninayo furaha kutoa hotuba katika kusherekea jubilei ya miaka 50 ya uhuru wa Tanzania Bara katika mkoa wetu wa Mwanza sambaba na sherehe za kitaifa jijini Dar es Salaama.Kama mkoa wa Mwanza tunapashwa kujiangalia tulikotoka ,tulipo baada ya miaka hii 50 ya uhuru na matarajio yetu katika miaka 50 ijayo katika nyanja zote za kijamii na kiuchumi aidha napenda kuwahakikishia kuwa serikali mkoani Mwanza ni sikivu na inatarajia kupitia tovuti hii na njia nyingine kupata maoni ushauri na fikra mbalimbali toka kwa wadau wote wa Mwanza.Huu ni mkakati wetu wa kujiletea maendeleo kama mkoa kwa ujumla kwa kushirikisha jamii kwa uwazi na kuzingatia utawala bora. Mwanza itajengwa na wadau wote wakiongozwa na wanamwanza wenyewe! Kwa upande wetu sisi kwa niaba ya serikali mkoani Mwanza tutahakikisha tunawapatia taarifa za kina za kutosha,kwa wakati ,nakuhakikishieni uwazi na utawala bora kupitia tovuti hii katika miaka 50 ijayo.Bonyeza hapa kusoma hotuba ya Uzinduzi

 
     
  Wajibu wa Wajumbe wa Bodi za Sekondari-REO  Chomola.  
  ..........................................................  
  Ufahamu Mfumo wa Stakabadhi ya Mazao Ghalani-Kija Maheda.  
  ..........................................................  
  Matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Nne ,Sita na Ualimu 2010/11.  
 
..........................................................
 
  Fursa za uwekezaji Mkoa wa Mwanza  
  ..........................................................  
  Mkutano wa 8 wa Silivan Arusha.  
  ...........................................................  
  Kidato cha I bweni 2011-Mwanza.  
  ...........................................................  
  Kidato cha I Kutwa 2011-Mwanza.  
     
   
 
 
 

..................................................

   
HABARI NYINGINE  
     
Nafasi za Kazi / Ajira  
  .....................................................  
Zabuni na Minada  
  .....................................................  
V V U / UKIMWI  
  .....................................................  
Mafunzo ya Ujasiriamali  
  .....................................................  
Mafunzo ya Mfumo wa Epicor 9.05  
  .....................................................  
Mipaka ktk Hifadhi za Misitu  
  .....................................................  
Chanjo ya Ukoma  
  .....................................................  
Warsha ya uwekezaji  
  .....................................................  
Mapato ya Mkoa yapanda  
     
 



Mafunzo ya Uhifadhi wa Mihogo yatolewa Nyang'hwale
  Mafunzo mafupi ya namna ya kuhifadhi zao la mhogo yata kayofanyika kwa wiki mbili Nyang'hwale wilayani Geita yamefunguliwa rasmi na Katibu Tawala Msaidizi Huduma za Uchumi wa Mkoa wa Mwanza Dr.Franklin Sarakikya.  
  ....................................................................................  
  Bonyeza hapa kusoma habari zaidi  
     
RCC yabariki kuigawa wilaya ya Magu
 
Kikao cha Kamati ya ushauri ya Mkoa kilichofanyika August 2010 katika ukumbi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa kauli moja kiliridhia mapendekezo ya kamati ya wataalamu kuugawa mkoa wa Mwanza na Mapendekezo ya Halmashauri ya Magu kuigawa wilaya hiyo katika Wilaya za Magu na Busega Sehemu ya jimbo la Magu itabaki katika Mkoa wa Shinyanga na sehemu ya Jimbo la Busega itakwenda Katika mkoa mpya wa Simiyu. Taarifa na michango mbalimbali ilitolewa.
Bonyeza hapa kusoma habari zaidi
 
  ....................................................................................  
  Bonyeza hapa kusoma habari zaidi  
  ENEO BINAFSI      
 Mbio za  Mwenge wa Uhuru 2010 zahitimishwa Kigoma.
 
Mwenge wa uhuru ulizimwa kitaifa Oktoba Mosi 2010 Mkoani Kigoma baada ya kuzunguka wilaya zote za Tanzania zikiwemo wilaya 8 za mkoa wa Mwanza,Taarifa kutoka kwa Mratibu wa Mwenge Mkoani Ndugu James Wiliam Ngasa zinasema Mwenge wa uhuru umezindua Miradi mingi ya Maendeleo na kuhamasisha wananchi kujiletea Maendeleo,Kujikinga na Maambukizi ya UKIMWI na Kupingana na UMASIKINI.
 
  ....................................................................................  
  Bonyeza hapa kusoma habari zaidi  
Makamu wa Rais Dr.Ali Mohamed shein akiwasha Mwenge wa Uhuru 29/05/2009 Jijini Mwanza
 
  Matukio Yajayo :  
 
       
Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania bara -Nyamagana
Tar. 01/ 09/12//2011
Mafunzo ya Epicor 9.05 Mwanza Kuuaga Mwaka 2011 Mwanza RS.
Tar. 12 31 /12/2011
Maandalizi ya Kuuaga Mwaka 2011 Mwanza RS.
Tar. 30/126/2011
.Upimaji Serikali za Mitaa (Benchimarking) kuanza
Tar. 1829/12/2011
Maadhimisho ya siku ya Mwaka mpya 2011
01/01/2012
Mapinduzi ya Zanzaibar
Tar. 01/12/2012
   
     
       
 
 
Web Mail
Maoni
Online Training / class
Mafaili na Ujumbe
Mijadala
 
 
     
Hotuba za Mkuu wa Mkoa  
Hotuba za Katibu Tawala (M)  
   

 
 
 
 
   
       
 

 

    ........................................................  
  Fursa za Uwekezaji & Vivutio  
    ......................................................  
  Mashirika, Taasisi & NGO's  
    ......................................................  
  Mahoteli & Nyumba za kulala wageni  
    ......................................................  
  Hospitali, Vituo vya afya na zahanati  
       
  Huduma za Jamii  
       
  Utalii  
    ........................................................  
  Maelezo mengine...  
       
© 2011 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa S.L.P 119 Mwanza, Simu:028-2501037/2500366,Fax: 0282501057;Email:info@mwanza.go.tz